• complaint |
    • Wasiliana nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
ASSOCIATION OF LOCAL AUTHORITIES OF TANZANIA-ALAT
ASSOCIATION OF LOCAL AUTHORITIES OF TANZANIA-ALAT

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania

  • Home
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
  • Tunafanya nini?
    • Service one
    • Services two
  • Utawala
    • Organization Structure
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Utawala
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • Habari Mpya
    • Matukio
  • Projects
    • lic projects
  • Halmashauri

ZIARA MKOA WA MWANZA NA GEITA.

Tuesday 7th, February 2023
@MWANZA GEITA

MWENYEKITI NA KATIBU MKUU – ALAT WAFANYA ZIARA KATIKA MIKOA YA MWANZA NA GEITA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO.

Mwenyekiti na Katibu Mkuu – ALAT walifanya ziara katika Halmashauri za Mikoa ya Mwanza na Geita. Kwa lengo la kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu, fedha za mapato ya ndani na fedha za UVIKO katika ujenzi wa vyumba vya madarasa. Pia kuimarisha ALAT na Matawi yake:- Kutembelea Matawi ya ALAT ya Mikoa, Halmashauri na Kata.

Katika hatua nyingine, Miradi yote ilikaguliwa Katika Halmashauri za Mikoa ya Mwanza na Geita, na kujiridhisha juu ya utekelezaji wake kwa kuona thamani ya fedha iliyotumika (Value for Money) kutokana na makusanyo ya fedha za ndani na fedha kutoka Serikali kuu. Halmashauri zilihamasishwa juu ya ulipaji wa madeni na michango ya Jumuiya ili kufanikisha maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 36 wa ALAT TAIFA utakaofanyika Jijini Mbeya Mei 2022 na uendeshaji wa shughuli za ALAT.

Wakati huo huo, Mwenyekiti wa ALAT TAIFA alitoa maelekezo kuhusu gari aina ya Toyota Land Cruiser V8 lililonunuliwa na Halmashauri hiyo kupitia mapato yake ya ndani liweze kurejeshwa katika Halmashauri ya Mji wa Geita kwani lilichukuliwa na kupelekwa Serikali Kuu na hakuna taarifa yoyote kuhusu gari hilo.

Pia, Mwenyekiti na Katibu Mkuu ALAT walishiriki katika Mkutano Mkuu wa Ushirikiano wa Halmashauri zinazozunguka Ukanda wa Ziwa Victoria (LVRLAC) Tarehe 24 - 25 February 2022 Jijini Mwanza.

Wasalaam.

Matangazo

  • MAPATO YA NDANI YA HALMASHAURI. March 17, 2022
  • View All

Latest News

  • MAADHIMISHO YA MWAKA MMOJA WA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA AWAMU YA TANO.

    March 17, 2022
  • MAPATO YA NDANI YA HALMASHAURI.

    March 17, 2022
  • PONGEZI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO.

    February 20, 2022
  • Viongozi wa ALAT TAIFA wawashukuru Benki ya NMB.

    February 17, 2022
  • View All

Video

mikumi
More Videos

Quick Links

  • ALAT

Related Links

  • TAMISEMI
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Jengo la Sokoine,Barabara ya CDA Dodoma

    Postal Address: P.O.Box 2049 DODOMA

    Telephone: 0262323407

    Mobile: +255(0)754283505

    Email: alat_tz@yahoo.com au moses.kaaya@gmail.com

Mawasiliano mengine

   

Wanaotembelea

Visitors Counter

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 ALAT . All rights reserved.